News
Kalonzo Threatens Mass Demos Should The Govt Implement New Proposed Taxes
A section of opposition leaders has voiced strong dissent against a proposal to extend the term limits of elected leaders, as well as the planned introduction of new tax measures.
Wiper Leader Kalonzo Musyoka and his DAP-K counterpart Eugene Wamalwa have cautioned that they will mobilise Kenyans to resist any attempt to extend the tenure of elected leaders.
“Eti badala ya kuchaguliwa miaka mitano, wanasema miaka saba. Viongozi wa kanisa, ombeni ili Mungu awaelekeze roho zao. Wakenya hawataki hiyo upuzi ya kuongeza hata siku moja,” charged Kalonzo.
“Mabadiliko yanakuja eti ya kubadilisha term limit ya Rais, Mbunge, na wengine. Tunasema some changes ambazo hazisaidii mwananchi wa kawaida sio lazima mpitishe hata kama ni mambo ya chama,” added Wamalwa the DAP-K Leader
The two further decried what they termed as the planned reintroduction of new tax measures by the government.
“Wakenya wanaumia na mambo ya ushuru. Wale wako na mshahara wanachukua payslip yenye imejaa ushuru. Imekuwa ushuru kila mahali,” lamented Kalonzo.
“Tangu serikali ya Kenya Kwanza ije, kile kitu wameongeza kutoka bottom mpaka up ni ushuru. Ushuru ukipanda, haijalishi kama wewe ni mtu wa Kenya Kwanza ama wa Azimio. Mafuta ikipanda, nauli ipande, kila mtu anaumia sawa,” said Wamalwa.
The DAP-K Leader argues that the new measures are likely to exacerbate the already high cost of living.
“Wabunge, mkipitisha hiyo Finance Bill ambayo inarudishwa, the burden of taxation will get heavier on the people of Kenya,” he said.
“Tunaambiwa serikali inataka kurudisha ile ushuru ilikuwa imetolewa na hiyo bill (Finance Bill 2024) ikatupiliwa mbali na Rais. Nawaomba Wabunge wawe makini kwa sababu mambo haya Waziri John Mbadi anayaleta Bungeni sio mambo mtapiga kura kwa niaba ya Ruto, Raila, Kalonzo ama Wamalwa. Ni kwa niaba ya Wananchi,” added the former Cabinet Secretary.
Kenya Insights allows guest blogging, if you want to be published on Kenya’s most authoritative and accurate blog, have an expose, news TIPS, story angles, human interest stories, drop us an email on [email protected] or via Telegram
-
Business1 week agoNairobi Freezes Binance Accounts in Sweeping Anti-Fraud Crackdown as Global Scandal Record Haunts World’s Largest Crypto Exchange
-
Business2 weeks agoTHE FUEL CABAL: How Mohamed Jaffer, a KPC Insider, and a Ministry Official Are Alleged to Have Manufactured Kenya’s Worst Petroleum Crisis in Three Years, While Kenyans Burned
-
Investigations1 week agoEXCLUSIVE: Odibets Bought Stolen Data From Millions Of Kenyans
-
Investigations1 week agoTHE BRAZEN RETURN: Triton Thief Yagnesh Devani, Who Pillaged Kenya of Sh7.6 Billion and Fled, Now Asks the Same Courts He Escaped to Restore His Stolen Wealth
-
Investigations7 days agoTHE FIXER IN THE FILE ROOM: How Parliamentary Health Committee Clerk Adan Gindicha Cleared Mediheal Hospital of Organ Harvesting Claims Despite Mounting Evidence
-
Investigations6 days agoThe Man Behind the Badge: How Prof. Erastus Kanga Turned Kenya’s Premier Wildlife Agency into a Theatre of Corruption, Fear and Impunity
-
Business2 weeks agoSugar Empire in the Dock: How Kibos’s Mombasa Refinery Landed 1,481 Phantom Tonnes at the Port — and Why Nine Government Agencies Are Now Watching Its Every Move
-
Investigations5 days agoKNH ON THE BRINK: How Corruption, Revenue Plunder and State Neglect Are Destroying Kenya’s Flagship Hospital
